// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); LIVERPOOL YAWAFUMUA BORUSSIA DORTMUND 4-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE LIVERPOOL YAWAFUMUA BORUSSIA DORTMUND 4-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, August 10, 2014

    LIVERPOOL YAWAFUMUA BORUSSIA DORTMUND 4-0

    LIVERPOOL imeonyesha inayaweza kabisa maisha bila Luis Suarez baada ya kuifumua mabao 4-0 Borussia Dortmund katika mchezo wa mwisho wa kujiandaa na msimu Uwanja wa Anfield.
    Mabao ya Liverpool yamefungwa na Daniel Sturridge dakika ya 10, Dejan Lovren dakika ya 14,  Phillippe Coutinho dakika ya 49 na Jordan Henderson dakika ya 61.
    Kikosi cha Liverpool kilikuwa: Mignolet; Manquillo/Kelly dk85, Johnson/Enrique dk61, Skrtel, Lovren; Gerrard, Can/Lucas dk46, Henderson/Allen dk80, Sterling, Coutinho/Ibe dk72 na Sturridge/Lambert dk76.
    Borussia Dortmund: Langerak; Piszczek/Großkreutz dk58, Sokratis/Knystock dk81, Ginter, Schmelzer/Sarr dk81, Kehl/Bender dk46, Kirch/Immobile dk46, Mkhitaryan/Ji dk64, Aubameyang/Bandowski dk76, Jojic/Amini dk77 na Ramos/Hofmann dk46.
    Mfungaji wa bao la kwanza la Liverpool, Daniel Sturridge akishangilia
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAWAFUMUA BORUSSIA DORTMUND 4-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top