Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche kulia akiinua chuma kwenye gym ya klabu hiyo, iliyopo Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam asubuhi ya leo huku kocha Joseph Marius Omog akimshuhudia. |
Power Gau; Mwaikimba akiinua chuma pembeni ya Omog |
Kiungo Kipre Michael Balou akianya mazoezi gym |
Beki David Mwantika akipasha gym |
Mwaikimba akiinua chuma |
Kocha Msaidizi wa Azam FC, Kali Ongala akiwapa maelekezo Didier Kavumbangu na Salum Abubakar 'Sure Boy' kulia |
Ismaila Diara akiinua chuma, huku Mwaikimba akitanua kifua kulia |
Didier Kavumbangu akiongeza nguvu mwilini |
0 comments:
Post a Comment