• HABARI MPYA

    Wednesday, July 16, 2014

    WACHEZAJI AZAM FC WAKITANUA VIFUA GYM LEO CHAMAZI

    Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche kulia akiinua chuma kwenye gym ya klabu hiyo, iliyopo Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam asubuhi ya leo huku kocha Joseph Marius Omog akimshuhudia.
    Power Gau; Mwaikimba akiinua chuma pembeni ya Omog
    Kiungo Kipre Michael Balou akianya mazoezi gym
    Beki David Mwantika akipasha gym
    Mwaikimba akiinua chuma
    Kocha Msaidizi wa Azam FC, Kali Ongala akiwapa maelekezo Didier Kavumbangu na Salum Abubakar 'Sure Boy' kulia
    Ismaila Diara akiinua chuma, huku Mwaikimba akitanua kifua kulia 
    Didier Kavumbangu akiongeza nguvu mwilini

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WACHEZAJI AZAM FC WAKITANUA VIFUA GYM LEO CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top