Dili limetiki: Mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji, Romelu Lukaku akiwa ameshika jezi ya Everton pamoja na kocha Roberto Martinez jana, baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 28 kutoka Chelsea. Lukaku alijiunga na Chelsea misimu mitatu iliyopita lakini akaambulia kucheza mechi 10 tu za Ligi Kuu England Stamford Bridge kabla ya kutolewa kwa mkopo West Brom na baadaye Everton anakohamia jumla.
Aged to steal? Company says $500K worth of bourbon stolen from depot
-
The shipment of Noble Oak bourbon was stolen from a warehouse in what
company officials described as a "coordinated cargo theft operation."
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment