Dili limetiki: Mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji, Romelu Lukaku akiwa ameshika jezi ya Everton pamoja na kocha Roberto Martinez jana, baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 28 kutoka Chelsea. Lukaku alijiunga na Chelsea misimu mitatu iliyopita lakini akaambulia kucheza mechi 10 tu za Ligi Kuu England Stamford Bridge kabla ya kutolewa kwa mkopo West Brom na baadaye Everton anakohamia jumla.
Australian tennis coach Wally Masur coach says Ash Barty was 'getting better' just before retirement
-
Legend Aussie tennis coach Wally Masur believes Ash Barty left the game
before reaching the peak of her powers - saying she left a few slams on the
table
Dakika 12 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni