Dili limetiki: Mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji, Romelu Lukaku akiwa ameshika jezi ya Everton pamoja na kocha Roberto Martinez jana, baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 28 kutoka Chelsea. Lukaku alijiunga na Chelsea misimu mitatu iliyopita lakini akaambulia kucheza mechi 10 tu za Ligi Kuu England Stamford Bridge kabla ya kutolewa kwa mkopo West Brom na baadaye Everton anakohamia jumla.
The incredible comeback of footy player who lost his eye and part of his
skull in horrific on-field incident
-
Suburban AFL player Michael Pisker won't forget the July 2024 clash
against University Blues anytime soon - and with good reason.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment