Dili limetiki: Mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji, Romelu Lukaku akiwa ameshika jezi ya Everton pamoja na kocha Roberto Martinez jana, baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 28 kutoka Chelsea. Lukaku alijiunga na Chelsea misimu mitatu iliyopita lakini akaambulia kucheza mechi 10 tu za Ligi Kuu England Stamford Bridge kabla ya kutolewa kwa mkopo West Brom na baadaye Everton anakohamia jumla.
Bring back Ange Postecoglou? Show Vinai Venkatesham the door? What can
Tottenham do to save their season? Our experts have their say...
-
Tottenham's season is spinning dangerously out of control and defeat by
Crystal Palace has plunged the club into full crisis mode. Our experts have
their s...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment