Dili limetiki: Mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji, Romelu Lukaku akiwa ameshika jezi ya Everton pamoja na kocha Roberto Martinez jana, baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 28 kutoka Chelsea. Lukaku alijiunga na Chelsea misimu mitatu iliyopita lakini akaambulia kucheza mechi 10 tu za Ligi Kuu England Stamford Bridge kabla ya kutolewa kwa mkopo West Brom na baadaye Everton anakohamia jumla.
He played one game for Tottenham EVER and it came against Arsenal in the
north London derby. Spurs ended up losing 4-1 - can you guess who he is?
-
It is set to be a red-hot atmosphere at the Tottenham Hotspur Stadium on
Sunday, and could come down to which of the two young teams can keep their
heads u...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment