STRAIKA MPYA SIMBA SC ATUA DAR NA PIGO ZA BALOTELLI
Mshambuliaji mpya wa Simba SC, Paul Kiongera kutoka Kenya akiwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo, Iddi Kajuna baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jioni ya leo.
Staili ya Balotelli; Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Kenya na klabu ya KCB ya kwao, amekuja kukamilisha usajili wake Simba SC, baada ya kuwa tayari amekwishafanya mazungumzo na uongozi wa klabu hiyo. Hili ni vazi maarufu kama Balotelli, ambalo kwa mara ya kwanza alionekana mshambuliaji wa Italia, Mario Balotelli amevaa.
Preview: Tottenham Hotspur v Arsenal
-
Ahead of the huge north London derby, get all the stats, quotes, tactics,
TV listings and more in our matchday guide
ALL IN mit Marcel Sabitzer
-
Sechs Torbeteiligungen in den vergangenen drei Partien: Marcel Sabitzer ist
aktuell in bestechender Form. Nun kehrt er mit dem BVB nach Leipzig und
damit a...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment