Magwiji walipokutana: Cristiano Ronaldo ameposti picha hii kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na bondia Floyd Mayweather baada ya kukutana naye leo na kuandika; "Safi kujiachia na bingwa". Mreno Ronaldo anayechezea Real Madrid ni Mwanasoka Bora wa Dunia, wakati Mmarekani Mayweather ni bingwa wa dunia ambaye hajawahi kupigwa katika ndondi za kulipwa.
Bring back Ange Postecoglou? Show Vinai Venkatesham the door? What can
Tottenham do to save their season? Our experts have their say...
-
Tottenham's season is spinning dangerously out of control and defeat by
Crystal Palace has plunged the club into full crisis mode. Our experts have
their s...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment