Magwiji walipokutana: Cristiano Ronaldo ameposti picha hii kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na bondia Floyd Mayweather baada ya kukutana naye leo na kuandika; "Safi kujiachia na bingwa". Mreno Ronaldo anayechezea Real Madrid ni Mwanasoka Bora wa Dunia, wakati Mmarekani Mayweather ni bingwa wa dunia ambaye hajawahi kupigwa katika ndondi za kulipwa.
Aged to steal? Company says $500K worth of bourbon stolen from depot
-
The shipment of Noble Oak bourbon was stolen from a warehouse in what
company officials described as a "coordinated cargo theft operation."
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment