Magwiji walipokutana: Cristiano Ronaldo ameposti picha hii kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na bondia Floyd Mayweather baada ya kukutana naye leo na kuandika; "Safi kujiachia na bingwa". Mreno Ronaldo anayechezea Real Madrid ni Mwanasoka Bora wa Dunia, wakati Mmarekani Mayweather ni bingwa wa dunia ambaye hajawahi kupigwa katika ndondi za kulipwa.
Scores killed as terrorists attack Taraba community
-
From Sylvanus Viashima, Jalingo At least nineteen persons including members
of the local vigilante were killed by terrorists in Karekuka village in
Gasso...
Dakika 11 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni