Magwiji walipokutana: Cristiano Ronaldo ameposti picha hii kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na bondia Floyd Mayweather baada ya kukutana naye leo na kuandika; "Safi kujiachia na bingwa". Mreno Ronaldo anayechezea Real Madrid ni Mwanasoka Bora wa Dunia, wakati Mmarekani Mayweather ni bingwa wa dunia ambaye hajawahi kupigwa katika ndondi za kulipwa.
TV tonight: the American version of Martin Clunes comedy Doc Martin
-
Josh Charles is the grumpy lead in new series Best Medicine. Plus: it’s
Alan Carr’s maximalist Interior Design Masters final. Here’s watch to watch
this ev...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment