Magwiji walipokutana: Cristiano Ronaldo ameposti picha hii kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na bondia Floyd Mayweather baada ya kukutana naye leo na kuandika; "Safi kujiachia na bingwa". Mreno Ronaldo anayechezea Real Madrid ni Mwanasoka Bora wa Dunia, wakati Mmarekani Mayweather ni bingwa wa dunia ambaye hajawahi kupigwa katika ndondi za kulipwa.
Bristol go fourth with big win at Newcastle
-
Bristol Bears run in eight tries to move back into The Prem's top four with
a 52-19 win at Newcastle Red Bulls.
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment