Mkali: Mshambuliaji wa Liverpool, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi katika mchezo wa kujiandaa na msimu usiku wa kuamkia leo dhidi ya Olympiacos ya Ugiriki, Kombe la Kimataifa. Liverpool itacheza pia na AC Milan na Manchester City katika Kundi B la michuano hiyo.
Benue: Govt dispels rumours of Mpox outbreak
-
The Benue State Government has dispelled rumours of an outbreak of
monkeypox (Mpox) in the state, declaring that no such outbreak has been
confirmed.
Th...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment