Mkali: Mshambuliaji wa Liverpool, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi katika mchezo wa kujiandaa na msimu usiku wa kuamkia leo dhidi ya Olympiacos ya Ugiriki, Kombe la Kimataifa. Liverpool itacheza pia na AC Milan na Manchester City katika Kundi B la michuano hiyo.
Hamburg coach Tim Walter heaps praise on Ghanaian forward Aaron Opoku
-
Hamburg coach Tim Walter showered praises on Ghanaian forward Aaron Opoku
for his performances in the game against Bayreuth and Heidenheim.The
23-year-old...
Dakika 20 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni