• HABARI MPYA

        Wednesday, July 30, 2014

        DIEGO COSTA ATAKA KUZIPIGA MCHEZAJI WA VITESSE KISA KUCHEZEWA RAFU

        Chupuchupu zipigwe: Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa akizinguana na mchezaji wa Vitesse Arnhem, Guram Kashia wakati wa mchezo wa kirafiki baina ya timu hizo leo. Chelsea ilishinda 3-1.
        Ouch! Costa took exception to this hefty tackle by Labyad
        Chanzo; kasheshe hilo lilifuatia Costa kuchezewa rafu na Labyad
        Ouch! Costa took exception to this hefty tackle by Labyad
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: DIEGO COSTA ATAKA KUZIPIGA MCHEZAJI WA VITESSE KISA KUCHEZEWA RAFU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry