• HABARI MPYA

    Wednesday, March 08, 2017

    MAVUGO ALAMBA NUSU MILIONI YA UCHEZAJI BORA WA MWEZI SIMBA

    Kocha wa makipa wa Simba, Iddi Salim (kushoto) akimkabidhi tuzo mshambuliaji wa timu hiyo, Laudit Mavugo (kulia) baada ya kuwa Mchezaji Bora wa klabu wa Janauri. Tuzo hiyo huambatana na zawadi ya Sh. 500,000
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAVUGO ALAMBA NUSU MILIONI YA UCHEZAJI BORA WA MWEZI SIMBA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top