Kiungo wa Bayer Leverkusen, Karim Bellarabi akimruka beki wa kushoto wa Atletico Madrid, Lucas Hernandez katika mchezo wa marudiano wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid, Hispania timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Atletico hata hivyo imesonga mbele kwa ushindi wa 4-2 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Teenager Guler scores as Real Madrid close on title
-
Arda Guler scores on his first La Liga start as Real Madrid close in on the
title with victory at Real Sociedad.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment