Kiungo wa Bayer Leverkusen, Karim Bellarabi akimruka beki wa kushoto wa Atletico Madrid, Lucas Hernandez katika mchezo wa marudiano wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid, Hispania timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Atletico hata hivyo imesonga mbele kwa ushindi wa 4-2 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Agyemang: "The club means everything to me"
-
Our 18-year-old forward speaks after signing her first professional
contract with the club
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment