Kiungo wa Bayer Leverkusen, Karim Bellarabi akimruka beki wa kushoto wa Atletico Madrid, Lucas Hernandez katika mchezo wa marudiano wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid, Hispania timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Atletico hata hivyo imesonga mbele kwa ushindi wa 4-2 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NL Central season preview: Will the Cubs or Brewers emerge as division
champs? Can the Reds and Pirates get in the postseason mix?
-
The Cardinals are in full rebuild mode but should enjoy top prospect JJ
Wetherholt's debut this season.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment