Sergio Aguero akipasua katikati ya wachezaji wa Monaco, Fabinho na Djibril Sidibe (kushoto) katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika usiku wa jana Uwanja wa Louis II mjini Monaco. Monaco ilishinda 3-1 na kusonga mbele kwa ushindi wa mabao ya ugenini baada ya sare ya jumla ya 6-6 kufuatia kufungwa 5-3 kwenye mchezo wa kwanza Manchester. Mabao ya Monaco jana yalifungwa na Kylian Mbappe Lottin dakika ya nane, Fabinho dakika ya 29 na Tiemoue Bakayoko dakika ya 77, wakati Leroy Sane aliifungia City dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nuno Espirito Santo set to be sacked by West Ham after Premier League
relegation - and with player's wife attacking him after he dropped her
husband for 'no particular reason'
-
Nuno had refused to be drawn on his own future on Sunday after West Ham's
relegation to the Championship was confirmed, but is now expected to leave
the club.
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment