Sergio Aguero akipasua katikati ya wachezaji wa Monaco, Fabinho na Djibril Sidibe (kushoto) katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika usiku wa jana Uwanja wa Louis II mjini Monaco. Monaco ilishinda 3-1 na kusonga mbele kwa ushindi wa mabao ya ugenini baada ya sare ya jumla ya 6-6 kufuatia kufungwa 5-3 kwenye mchezo wa kwanza Manchester. Mabao ya Monaco jana yalifungwa na Kylian Mbappe Lottin dakika ya nane, Fabinho dakika ya 29 na Tiemoue Bakayoko dakika ya 77, wakati Leroy Sane aliifungia City dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Controversial footballer James McClean tipped to make shock career move and
fight KSI in BOXING match
-
James McClean has been backed to make a shock move into boxing where he
could 'do a bit of damage' to YouTuber-turned-fighter KSI. The Wrexham
footballer h...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment