Wageni wa heshima wakisalimiana na wachezaji wa Yanga SC kutoka kulia Freddy Mbuna, Said Maulid ‘SMG’, Abdulkadir Mohammed ‘Tashi’ na Edibily Lunyamila kabla ya mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Simba SC Februari 17, mwaka 2001 Uwanja wa Uhuru, sasa Taifa mjini Dar es Salaam. Yangs ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Lunyamila dakika ya 47 na AllyYussuf 'Tigana' dakika ya 80 la Simba likifungwa na Steven Mapunda 'Garrincha' dakika ya 43.
NFL fans complained to the Feds about Kendrick Lamar and Serena Williams
over Super Bowl show... and here's why
-
Kendrick Lamar's polarizing Super Bowl halftime performance drew over 100
complaints - including some about his feud with Drake - according to a
report.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment