// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
LUKE SHAW AONGEZA MKATABA WA MIAKA MINNE MAN UNITED - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINELUKE SHAW AONGEZA MKATABA WA MIAKA MINNE MAN UNITED - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
LUKE SHAW AONGEZA MKATABA WA MIAKA MINNE MAN UNITED
BEKI wa Kimataifa wa England, Luke Paul Hoare Shaw (27) ameongeza mkataba wa miaka minne kuendelea kuichezea Manchester United hadi mwaka 2027. Tayari Shaw amekwishaitumikia Manchester United kwa miaka tisa tangu ajiunge nayo mwaka 2014 akitokea Southampton.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment