MABINGWA wa Ligi ya Wanawake Tanzania Bara na Afrika Mashariki na Kati, Simba Queens wamemtambulisha Fatuma Omari kuwa kocha wao mpya wa makipa.
Fatuma ni kipa wa zamani wa timu ya taifa ya Wanawake Tanzania, maarufu kama Twiga Stars na amewahi pia kuwa kocha wa makipa wa timu ya wanaume ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara, KMC.
0 comments:
Post a Comment