KAJULA HUYU HAPA CAIRO TAYARI KUIWAKILISHA SIMBA SC LEO USIKU
MTENDAJI Mkuu wa Simba SC, Imani Kajula akiwa makao makuu ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Jijini Cairo nchini Misri leo kuiwakilisha klabu kwenye droo ya mech za Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika inayotarajiwa kupangwa leo kuanzia Saa 3:30 usiku. Baada ya kumaliza nafasi ya pili kwenye Kundi C nyuma ya vinara, Raja Casablanca ya Morocco, Simba SC inatarajiwa kupangiwa ama mabingwa watetezi, Wydad Casablanca ya Morocco pia, Esperance ya Tunisia au Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment