• HABARI MPYA

    Friday, February 04, 2022

    MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA TANZANITE ADDIS


    MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango amekutana na Kikosi cha Timu ya Taifa ya Wanawake U20 “Tanzanite” kwenye Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia, Dkt. Mpango amezungumza nao na kuwapa hamasa kuelekea mchezo wa marudiano kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Ethiopia utakaochezwa leo saa 10 jioni kwenye uwanja wa Abebe Bikila.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA TANZANITE ADDIS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top