• HABARI MPYA

    Friday, February 11, 2022

    DICKSON JOB AFUNGIWA MECHI TATU FAINI 500,000


    BEKI wa Yanga, Dickson Job amefungiwa mechi tatu na kutozwa faini ya Sh. 500,000 kwa kosa la kumkanyaga mchezaji wa Mbeya City, Richardson Ng’ondya kwenye mchezo baina ya timu hizo Februari 5, mwaka huu.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DICKSON JOB AFUNGIWA MECHI TATU FAINI 500,000 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top