BAO pekee la Hamadi Majimengi dakika ya 44 limeipa Ruvu Shooting ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons jioni ya leo Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Ruvu Shooting inafikisha pointi 15 mchezo wa 15 na kusogea nafasi ya 12, wakati Prisons inayobaki na pointi zake 11 za mechi 15 sasa inaendelea kushika mkia.
0 comments:
Post a Comment