KUELEKEA mchezo wao wa ufunguzi wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast Jumapili kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam, Rais wa heshima wa klabu hiyo, Mohammed ‘Mo’ Dewji leo amekutana na kuzungumza na wachezaji na benchi la ufundi.
0 comments:
Post a Comment