• HABARI MPYA

    Sunday, February 13, 2022

    IHEFU YAZIDI KUJISOGEZA ANGA ZA LIGI KUU

    TIMU ya Ihefu SC ya Mbarali mkoani Mbeya imezidi kuweka hai matumaini ya kurejea Ligi Kuu baada ya ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya Pamba FC Uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza.
    Kwa ushindi huo, Ihefu inafikisha pointi 41 katika mchezo wa 17, ingawa inabaki nafasi ya pili ikizidiwa pointi moja na DTB ambayo pia ina mechi moja mkononi na leo itamenyana na Green Warriors.


    MATOKEO YOTE CHAMPIONSHIP JANA
    Transit Camp  1-0   African Lyon
    Kengold           2-1  Gwambina FC
    Pamba FC       0-1  Ihefu SC
    JKT Tanzania  4-0   Fountain Gate
    Ndanda FC     1-1   Mashujaa FC   


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IHEFU YAZIDI KUJISOGEZA ANGA ZA LIGI KUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top