• HABARI MPYA

    Friday, February 18, 2022

    YANGA YAGAWA KADI ZA KIELEKTRONIKI BUNGENI



    SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson akikabidhi kadi ya Uanachama ya Kielektroniki kwa Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini la Yanga, Kapteni Mstaafu, George Huruma Mkuchika na Waheshimiwa Wabunge katika hafla ya uzinduzi wa kadi mpya za uanachama za Yanga leo Bungeni Jijini Dodoma.




    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson akikabidhi kadi ya Uanachama ya Kielektroniki kwa Wabunge katika hafla ya uzinduzi wa kadi mpya za uanachama za Yanga leo Dodoma.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA YAGAWA KADI ZA KIELEKTRONIKI BUNGENI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top