• HABARI MPYA

    Friday, February 11, 2022

    REFA ALIYEWABEBA SIMBA DHIDI YA MBEYA KWANZA AFUNGIWA


    REFA Ahmada Simba wa Kagera amefungiwa mechi tatu kwa kosa kukubali bao la kuotea la kiungo Mzambia, Clatous Chama katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Mbeya Kwanza, Simba SC ikiibuka na ushindi wa 1-0 Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam Februari 3, mwaka huu.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    1 comments:

    Anonymous said... February 16, 2022 at 11:24 AM

    bwana Bin Zubery mimi haya maoni yangu hata usipo ya publish naomba wewe kama mdau wa michezo na una kipindi kila JPILI AZAM TV ,naomba uwaeleze(wambie najua hiyo nafasi unayo) watu wanaohusika na picha kwenye mpira wa miguu iwe kwa bahati mbaya wana mapenzi au wana protect interest zao na hususani SIMBA na AZAM hapa tisiseme Waamuzitu.Wanaficha replay zao au kupotosha matukio na wapo makini kuonyesha any negative incedence inapofanywa na mchezaji wa Yanga na hapo Camera zao zitaonyesha kila angle.Mfano mchezo baina ya Yanga na Simba ngao ya hisani wanaonyesha eti harama ya dole(matusi Yanick Bangala eti alitukana Simba.Mchezo Yanga na Azam 1st round 1st half never Tigere anamkanyaga Dickson Job mgongoni tukio halirudiwi,badala yake wana create ile block ya iddi na Job kunyimwa penalt,picha ya marudio ya penalt ya Yanga vs Ruvu shooting inatetemeka kiasi cha kutojua nani alikosea lkn mpira ulianzia kwenye mkono wa hali mtoni ,wanaipeleka spidi ionekane Mayele alishika.Goli la George Mpole na Simba vs Kapombe wnaonyesha camera moja tu ya nyuma |(ina trend hiyo tu)nyingine z kuona kama kweli George alimsukuma Kapombe hamna ,Yanga vs Namungo Penalt ya Fei hapo utajua walivyo na vifaa mpaka ya chini mguuni(mgusano) tulionyeshwa.Simba vs Prison short off target ya kwanza Onyango aliblock mpira kwa mkono halafu jamaa wa prison kapiga tena nyavu ndogo ,Azam Tv hawakurudia hilo tukio na badala yake Mpenja aliyekuwa mtangazaji anapotosha baada ya kama dk 20 wale jamaa wanapiga golini(nje)short of target anasema ndiyo ya kwanza ,ile ya Onyango kushika wanaipotezea inatokea juzi na Mbeya kwanza offside ya Kagere ,Mpenja yuleyule eti anafafanua kuwa kama mpira ulimgusa mchezaji wa mbeya siyo offside.na hao watangazaji w Azam mchezaji wa Simba akicheza faulo utasikia inapambwa kwamba alikuwa anajaribu kuweka mguu lkn kwa tafsiri ya Mwalimu ni faulo.akicheza wa YANGA ametumia nguvu sana mchezo usio wa kiungwana.Kifupi hao watu wanao rusha mpira na ku control replay wawe na maadili,matukio yote yapewe kipaumbele ya Simba yasifichwe,bila kusahau Wawa alifanya nini mechi ya Mbeya kwanza.Wasimwlibie AZAM biashara yake kisa mahaba yao kwa Simba.

    Item Reviewed: REFA ALIYEWABEBA SIMBA DHIDI YA MBEYA KWANZA AFUNGIWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top