// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
REFA ALIYEWABEBA SIMBA DHIDI YA MBEYA KWANZA AFUNGIWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEREFA ALIYEWABEBA SIMBA DHIDI YA MBEYA KWANZA AFUNGIWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
REFA ALIYEWABEBA SIMBA DHIDI YA MBEYA KWANZA AFUNGIWA
REFA Ahmada Simba wa Kagera amefungiwa mechi tatu kwa kosa kukubali bao la kuotea la kiungo Mzambia, Clatous Chama katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Mbeya Kwanza, Simba SC ikiibuka na ushindi wa 1-0 Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam Februari 3, mwaka huu.
bwana Bin Zubery mimi haya maoni yangu hata usipo ya publish naomba wewe kama mdau wa michezo na una kipindi kila JPILI AZAM TV ,naomba uwaeleze(wambie najua hiyo nafasi unayo) watu wanaohusika na picha kwenye mpira wa miguu iwe kwa bahati mbaya wana mapenzi au wana protect interest zao na hususani SIMBA na AZAM hapa tisiseme Waamuzitu.Wanaficha replay zao au kupotosha matukio na wapo makini kuonyesha any negative incedence inapofanywa na mchezaji wa Yanga na hapo Camera zao zitaonyesha kila angle.Mfano mchezo baina ya Yanga na Simba ngao ya hisani wanaonyesha eti harama ya dole(matusi Yanick Bangala eti alitukana Simba.Mchezo Yanga na Azam 1st round 1st half never Tigere anamkanyaga Dickson Job mgongoni tukio halirudiwi,badala yake wana create ile block ya iddi na Job kunyimwa penalt,picha ya marudio ya penalt ya Yanga vs Ruvu shooting inatetemeka kiasi cha kutojua nani alikosea lkn mpira ulianzia kwenye mkono wa hali mtoni ,wanaipeleka spidi ionekane Mayele alishika.Goli la George Mpole na Simba vs Kapombe wnaonyesha camera moja tu ya nyuma |(ina trend hiyo tu)nyingine z kuona kama kweli George alimsukuma Kapombe hamna ,Yanga vs Namungo Penalt ya Fei hapo utajua walivyo na vifaa mpaka ya chini mguuni(mgusano) tulionyeshwa.Simba vs Prison short off target ya kwanza Onyango aliblock mpira kwa mkono halafu jamaa wa prison kapiga tena nyavu ndogo ,Azam Tv hawakurudia hilo tukio na badala yake Mpenja aliyekuwa mtangazaji anapotosha baada ya kama dk 20 wale jamaa wanapiga golini(nje)short of target anasema ndiyo ya kwanza ,ile ya Onyango kushika wanaipotezea inatokea juzi na Mbeya kwanza offside ya Kagere ,Mpenja yuleyule eti anafafanua kuwa kama mpira ulimgusa mchezaji wa mbeya siyo offside.na hao watangazaji w Azam mchezaji wa Simba akicheza faulo utasikia inapambwa kwamba alikuwa anajaribu kuweka mguu lkn kwa tafsiri ya Mwalimu ni faulo.akicheza wa YANGA ametumia nguvu sana mchezo usio wa kiungwana.Kifupi hao watu wanao rusha mpira na ku control replay wawe na maadili,matukio yote yapewe kipaumbele ya Simba yasifichwe,bila kusahau Wawa alifanya nini mechi ya Mbeya kwanza.Wasimwlibie AZAM biashara yake kisa mahaba yao kwa Simba.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
1 comments:
bwana Bin Zubery mimi haya maoni yangu hata usipo ya publish naomba wewe kama mdau wa michezo na una kipindi kila JPILI AZAM TV ,naomba uwaeleze(wambie najua hiyo nafasi unayo) watu wanaohusika na picha kwenye mpira wa miguu iwe kwa bahati mbaya wana mapenzi au wana protect interest zao na hususani SIMBA na AZAM hapa tisiseme Waamuzitu.Wanaficha replay zao au kupotosha matukio na wapo makini kuonyesha any negative incedence inapofanywa na mchezaji wa Yanga na hapo Camera zao zitaonyesha kila angle.Mfano mchezo baina ya Yanga na Simba ngao ya hisani wanaonyesha eti harama ya dole(matusi Yanick Bangala eti alitukana Simba.Mchezo Yanga na Azam 1st round 1st half never Tigere anamkanyaga Dickson Job mgongoni tukio halirudiwi,badala yake wana create ile block ya iddi na Job kunyimwa penalt,picha ya marudio ya penalt ya Yanga vs Ruvu shooting inatetemeka kiasi cha kutojua nani alikosea lkn mpira ulianzia kwenye mkono wa hali mtoni ,wanaipeleka spidi ionekane Mayele alishika.Goli la George Mpole na Simba vs Kapombe wnaonyesha camera moja tu ya nyuma |(ina trend hiyo tu)nyingine z kuona kama kweli George alimsukuma Kapombe hamna ,Yanga vs Namungo Penalt ya Fei hapo utajua walivyo na vifaa mpaka ya chini mguuni(mgusano) tulionyeshwa.Simba vs Prison short off target ya kwanza Onyango aliblock mpira kwa mkono halafu jamaa wa prison kapiga tena nyavu ndogo ,Azam Tv hawakurudia hilo tukio na badala yake Mpenja aliyekuwa mtangazaji anapotosha baada ya kama dk 20 wale jamaa wanapiga golini(nje)short of target anasema ndiyo ya kwanza ,ile ya Onyango kushika wanaipotezea inatokea juzi na Mbeya kwanza offside ya Kagere ,Mpenja yuleyule eti anafafanua kuwa kama mpira ulimgusa mchezaji wa mbeya siyo offside.na hao watangazaji w Azam mchezaji wa Simba akicheza faulo utasikia inapambwa kwamba alikuwa anajaribu kuweka mguu lkn kwa tafsiri ya Mwalimu ni faulo.akicheza wa YANGA ametumia nguvu sana mchezo usio wa kiungwana.Kifupi hao watu wanao rusha mpira na ku control replay wawe na maadili,matukio yote yapewe kipaumbele ya Simba yasifichwe,bila kusahau Wawa alifanya nini mechi ya Mbeya kwanza.Wasimwlibie AZAM biashara yake kisa mahaba yao kwa Simba.
Post a Comment