TIMU ya Manchester City imeibuka na ushindi wa 4-0 ugenini dhidi ya Norwich City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Carrow Road, Mabao ya Man City yalifungwa Raheem Sterling aliyepiga hat trick kwa mabao yake ya dakika za 31, 70 na 90 huku bao lingine la Man City likifungwa na Philip Foden dakika ya 48.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment