TIMU ya Manchester City imeibuka na ushindi wa 4-0 ugenini dhidi ya Norwich City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Carrow Road,
Mabao ya Man City yalifungwa Raheem Sterling aliyepiga hat trick kwa mabao yake ya dakika za 31, 70 na 90 huku bao lingine la Man City likifungwa na Philip Foden dakika ya 48.
0 comments:
Post a Comment