• HABARI MPYA

    Friday, February 18, 2022

    BAADA YA SEMINA YA MAREFA, TUTARAJIE MABADILIKO?




    RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace John Karia jana amefunga Semina ya siku tatu ya Waamuzi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.




    Je, tutarajie mabadiliko juu ya uchezeshaji wa marefa katika sehemu iliyobaki ya msimu?
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BAADA YA SEMINA YA MAREFA, TUTARAJIE MABADILIKO? Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top