• HABARI MPYA

    Friday, February 25, 2022

    LUSAJO AMFUNIKA MAYELE KWA MABAO LIGI KUU


    MSHAMBULIAJI wa Namungo FC, Relliant Lusajo amemaliza mzunguko wa kwanza anaongoza kwa mabao Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kufumania nyavu mara 10, mara tatu zaidi ya Mkongo wa Yanga, Fiston Kalala Mayele.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUSAJO AMFUNIKA MAYELE KWA MABAO LIGI KUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top