BAO pekee la kiungo Philip Foden dakika ya82 jana limeipa Manchester City FC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Everton FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Goodison Park, Liverpool. Kwa ushindi huo, Liverpool inafikisha pointi 66 katika mchezo wa 27 na kuendelea kuongoza ligi kwa pointi sita zaidi ya Liverpool, ambayo hata hivyo ina mechi moja mkononi, wakati Everton inabaki na pointi zake 22 za mechi 24 nafasi ya 17.
Senegal face Togo in crucial World Cup Qualifier
-
Senegal will face Togo in a crucial 2026 FIFA World Cup qualifying clash
at Stade Me Abdoulaye Wade, determined to avoid further setbacks in their
campa...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment