WENYEJI, Manchester United wameazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 nyumbani na Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwnaja wa Old Tafford, Manchester. ]Jadon Sancho alianza kuifungia Man Unitef dakika ya 21 Uwanja wa Old Trafford, kabla ya Che Adams kuisawazishia Southampton dakika ya 48.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment