WENYEJI, Manchester United wameazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 nyumbani na Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwnaja wa Old Tafford, Manchester.
]Jadon Sancho alianza kuifungia Man Unitef dakika ya 21 Uwanja wa Old Trafford, kabla ya Che Adams kuisawazishia Southampton dakika ya 48.
0 comments:
Post a Comment