BAO la Fabinho dakika ya 40 limeipa Liverpool ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Turf Moor. Kwa ushindi huo, Liverpool inafikisha pointi 54 katika mchezo wa 24, ingawa inabaki nafasi ya pili, ikizidiwa pointi tisa na mabingwa watetezi, Manchester City ambao pia wamecheza mechi moja zaidi. Hali inazidi kuwa mbaya kwa Burnley ambayo inaendelea kushika ikiwa na pointi 14 baada ya kucheza mechi ya 21 leo.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment