// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
DJIGUI DIARRA TAYARI KUREJEA KAZINI YANGA NA BIASHARA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEDJIGUI DIARRA TAYARI KUREJEA KAZINI YANGA NA BIASHARA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
DJIGUI DIARRA TAYARI KUREJEA KAZINI YANGA NA BIASHARA
MLINDA mlango wa kimataifa wa Mali, Djigui Diarra akiwa mazoezini na klabu yake, Yanga SC baada ya kurejea nchini kutoka nchini Cameroon alipokuwa na timu yake ya taifa kwa ajili ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zilizomalizika Jumapili kwa Senegal kuwa mabingwa.
Baada ya kukosekana tangu mwishoni mwa Desemba, Diarra anatarajiwa kuonekana tena kazini Yanga ikimenyana na Biashara United katika mchezo wa Hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) Jumanne Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment