OPA CLEMENT MCHEZAJI BORA JANUARI LIGI YA WANAWAKE
MCHEZAJI wa timu ya Simba Queens, Opa Clement amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Januari Ligi Kuu ya Wanawake ya Tanzania Bara na kwa ushindi huo atapata Kiasi cha shilingi 500,000 kutoka kampuni ya Rani Sanitary Pad.
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni