• HABARI MPYA

    Sunday, February 20, 2022

    CHELSEA YAICHAPA CRYSTAL PALACE 1-0


    BAO pekee la Hakim Ziyech dakika 89 limeipa Chelsea ushindi wa 1-0 dhidi ya Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Selhurst Park Jijini London.
    Chelsea inafikisha pointi 50, ingawa inabaki nafasi ya tatu ikizidiwa pointi mbili na Liverpool baada ya timu zote kucheza mechi 25, wakati Palace inabaki na pointi zake 26 katika nafasi ya 13.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAICHAPA CRYSTAL PALACE 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top