• HABARI MPYA

        Wednesday, February 09, 2022

        SIMBA NA ASEC JUMAPILI KIINGILIO 5,000


        KIINGILIO cha chini katika mchezo wa mchezo wa kwanza Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika baina ya wenyeji, Simba SC na ASEC Mimosas ya Ivory Coast Jumapili kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam ni Sh. 5,000 kwa mzunguko.
        Viingilio vingine ni Sh. 20,000 VIP B na C na Sh. 40,000 VIP A, wakati tiketi za mashabiki maalum, maarufu kama Platinum zitauzwa kwa Sh. 150,000.


        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SIMBA NA ASEC JUMAPILI KIINGILIO 5,000 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry