KIINGILIO cha chini katika mchezo wa mchezo wa kwanza Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika baina ya wenyeji, Simba SC na ASEC Mimosas ya Ivory Coast Jumapili kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam ni Sh. 5,000 kwa mzunguko.
Viingilio vingine ni Sh. 20,000 VIP B na C na Sh. 40,000 VIP A, wakati tiketi za mashabiki maalum, maarufu kama Platinum zitauzwa kwa Sh. 150,000.
0 comments:
Post a Comment