• HABARI MPYA

    Wednesday, February 09, 2022

    SIMBA NA ASEC JUMAPILI KIINGILIO 5,000


    KIINGILIO cha chini katika mchezo wa mchezo wa kwanza Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika baina ya wenyeji, Simba SC na ASEC Mimosas ya Ivory Coast Jumapili kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam ni Sh. 5,000 kwa mzunguko.
    Viingilio vingine ni Sh. 20,000 VIP B na C na Sh. 40,000 VIP A, wakati tiketi za mashabiki maalum, maarufu kama Platinum zitauzwa kwa Sh. 150,000.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA NA ASEC JUMAPILI KIINGILIO 5,000 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top