• HABARI MPYA

    Friday, February 11, 2022

    LIVERPOOL YAILAZA LEICESTER 2-0 MABAO YA JOTA


    MABAO ya Mreno, Diogo Jota dakika ya 34 na 87 yameipa Liverpool ushindi wa 2-0 dhidi ya Leicester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Alhamisi Uwanja wa Anfield.
    Kwa ushindi huo, Liverpool inafikisha pointi 51 katika mechi ya 23, ingawa inabaki nafasi ya pili, ikizidiwa pointi tisa na mabingwa watetezi, Manchester City ambao pia wamecheza mechi moja zaidi.
    Leicester City inabaki na pointi zake 26 za mechi 21 sasa katika nafasi ya 12.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAILAZA LEICESTER 2-0 MABAO YA JOTA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top