// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
REAL MADRID YAPANDA KILELENI BAADA YA KUICHAPA CELTA VIGO 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEREAL MADRID YAPANDA KILELENI BAADA YA KUICHAPA CELTA VIGO 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
REAL MADRID YAPANDA KILELENI BAADA YA KUICHAPA CELTA VIGO 2-0
MABAO ya Lucas Vazquez dakika ya sita na Marco Asensio dakika ya 53 jana yameipa Real Madrid ushindi wa 2-0 dhidi ya Celta Vigo katika mchezo wa LaLiga Uwanja wa Alfredo Di Stefano Jijini Madrid. Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 36 baada ya kucheza mechi 17 na kupanda kileleni mwa La Liga ikiwazidi pointi moja tu wapinzani wao wa Jiji, Atletico Madrid ambao hata hivyo wamecheza mechi 14PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reps in heated argument over Rivers crisis
-
From Ndubuisi Orji, Abuja Two members of the House of Representatives,
Marie Ebikake and Blessing Amadi, were engaged in a heated argument over
the dec...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment