// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
LACAZETTE APIGA MBILI, ARSENAL YAICHAPA WEST BROMWICH 4-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINELACAZETTE APIGA MBILI, ARSENAL YAICHAPA WEST BROMWICH 4-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
LACAZETTE APIGA MBILI, ARSENAL YAICHAPA WEST BROMWICH 4-0
MABAO ya Kieran Tierney dakika ya 23, Bukayo Saka dakika ya 28 na Alexandre Lacazette mawili dakika ya 60 na 64 jana yaliipa Arsenal ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, West Bromwich Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The Hawthorns. Kwa ushindi huo The Gunners inafikisha pointi 23 na kusogea nafasi ya 11, ikizidiwa pointi tatu na wapinzani wao wa London, West Ham United baada ya wote kucheza mechi 17PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment