Bondia Mmarekani, Deontay Wilder 'Bronze Bomber' akiondoka kurejea kwenye kona yake baada ya kumuangusha mpinzani wake, Tyson Fury 'Gipsy King' katika raundi ya 12 Alfajiri ya leo ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, Marekani. Hata hivyo, Muingereza Fury aliyecheza vizuri, aliinuka na kumalizia pambano na matokeo yakawa droo, Wilder aliyemuangusha mpinzani wake raundi ya tisa pia anabaki na mkanda wake wa uzito wa juu wa WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three-time Cheltenham winner Sire Du Berlais suffers fatal injury at
Punchestown... with trainer Gordon Elliott 'absolutely heartbroken'
following death of 'horse of a lifetime'
-
The 12-year-old pulled up three hurdles from the end of the Ladbrokes
Champion Stayers Hurdle at Punchestown on Thursday.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment