Bondia Mmarekani, Deontay Wilder 'Bronze Bomber' akiondoka kurejea kwenye kona yake baada ya kumuangusha mpinzani wake, Tyson Fury 'Gipsy King' katika raundi ya 12 Alfajiri ya leo ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, Marekani. Hata hivyo, Muingereza Fury aliyecheza vizuri, aliinuka na kumalizia pambano na matokeo yakawa droo, Wilder aliyemuangusha mpinzani wake raundi ya tisa pia anabaki na mkanda wake wa uzito wa juu wa WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Benue PDP, Muftwang reject description of insecurity as farmer-herder
clashes
-
The Peoples Democratic Party (PDP) in Benue State has expressed concern
over Governor Hyacinth Alia’s description of the security challenges in the
state...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment