Gabriel Jesus akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 22 na 50 mara zote akipasiwa na Leroy Sane katika ushindi wa 3-1 wa Manchester City dhidi ya Everton leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Bao lingine la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya 69, wakati la Everton limefungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 65 na sasa timu ya kocha Pep Guardiola inafikisha pointi 44 katika mechi ya 17 ikiwazidi pointi mbili Liverpool walio nafasi ya pili wakiwa wamecheza mechi 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McCullum wants to stay as England coach – will he get the chance?
-
Brendon McCullum wants to stay as England coach but it is still up for
debate whether he will get that chance, writes Matthew Henry.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment