Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 14 na 48 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Burnley leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Bao lingine limefungwa na Alex Iwobi dakika ya 90 na ushei, wakati bao pekee la Burnley limefungwa na Ashley Barnes dakika ya 63 na kwa uishindi huo, Arsenal inafikisha pointi 37 sawa na Chelsea iliyo nafasi ya nne baada ya zote kucheza mechi 18, zikiwa nyuma ya Tottenham Hotspur yenye pointi 39 za mechi 17, Manchester City pointi 44 mechi 18 na Liverpool pointi 48 mechi 18 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City vs Chelsea - FA Cup semi-final: Live score, team news and updates
as Pep Guardiola's side look to bounce back after Champions League exit -
PLUS action from the Premier League's 3pm kick-offs
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Manchester City take on Chelsea in the FA Cup semi-final at Wembley
Stadium.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment