SIMBA SC NA NKANA FC KATIKA PICHA UWANJA WA TAIFA JANA
Kiungo wa Simba SC, Clatous Chama akimuacha chini kiungo wa Nkana FC, Harrison Chisala katika mchezo wa marudiano hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-1
Clatous Chama akitoa pasi mbele ya Shadrack Malambo wa Nkana FC. Simba imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-3 baada ya kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza nchini Zambia
Beki Mghana wa Simba, Nicholaus Gyan akipasua katikati ya wachezaji wa Nkana FC
Beki Mkenya wa Nkana FC, Duncan Otieno akiondoka na mpira dhidi ya mshambuliaji Mganda wa Simba, Emmanuel Okwi
Kocha Mbelgiji wa Simba, Patrick J Aussems akiwa amembeba mchezaji wake Shiza Kichuya
Kocha Patrick Aussems akiwa amekumbatia mfungaji wa bao la tatu, Clatous Chama
Kikosi cha Simba SC kabla ya kuanza kwa mchezo wa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Kikosi cha Nkana FC kabla ya kuanza kwa mchezo wa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Mashabiki wa Simba SC katika mchezo wa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Manchester United scrap end-of-season awards
-
Following a dismal season, Manchester United is said to have canceled plans
to throw an end-of-season awards ceremony. Despite the fact that COVID-19
manda...
High school students rallied in crime prevention
-
Secondary school students could play a significant role in crime prevention
and reduction, according to the Rwanda Investigation Bureau (RIB).
In its ong...
Sportsbet.io host Arsenal screening in Lagos
-
Sportsbet.io, the world's leading crypto-led sports betting service,
presented a one-of-a-kind 'Ahead of The Game' event in Lagos, Nigeria with
over 400 pe...
MAELEZO Yakusanya Zaidi ya Milioni 354
-
Idara ya Habari – MAELEZO imekusanya jumla ya shilingi 354,190,750 sawa na
asilimia 199 katika mwaka wa fedha 2021/2022. Waziri wa Habari, Mawasiliano
na T...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni