Kipa wa Southampton, Alex McCarthy akiokoa dhidi ya mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. Mary's. Southampton imeshinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Danny Ings mawili dakika za 20 na 44 na Charlie Austin dakika ya 85, wakati ya Arsenal yamefungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika za 28 na 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fitzpatrick beats Scheffler in Heritage play-off
-
England's Matt Fitzpatrick beats world number one Scottie Scheffler in a
play-off to win the RBC Heritage and claim his second PGA Tour title in the
space ...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment