Kipa wa Southampton, Alex McCarthy akiokoa dhidi ya mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. Mary's. Southampton imeshinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Danny Ings mawili dakika za 20 na 44 na Charlie Austin dakika ya 85, wakati ya Arsenal yamefungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika za 28 na 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigeria can’t build strong economy without security –Gbenga Daniel
-
Former Governor of Ogun State, Senator Gbenga Daniel, has said that Nigeria
cannot build a strong economy without security, nor can it sustain lasting
se...
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment