Leroy Sane akishangilia na Gabriel Jesus baada ya kuifungiaa mabao mawili Manchester City dakika za 45 na ushei na 61 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Hoffenheim usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Ethad. Bao pekee la Hoffenheim lilifungwa na Andrej Kramaric kwa penalti dakika ya 16 na Man City imemaliza na pointi 13 kileleni mwa kundi ikifuatiwan na Lyon ya Ufaransa yenye pointi nane na zote zinafuzu 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kentucky Derby 2024 Winner Mystik Dan Not Yet Confirmed for Preakness Stakes
-
The 2024 Kentucky Derby winning horse is not confirmed for the Preakness
Stakes later in May, per the Associated Press (h/t ESPN). Mystik Dan's
trainer Kenny…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment