Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao matatu dakika za 43, 47, na 60 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, Levante usiku wa jana Uwanja wa Ciudad de Valencia, hiyo ikiwa hat trick yake ya 31 katika La Liga. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez dakika ya 35 na Gerard Pique dakika ya 88 na sasa timu hiyo inafikisha pointi 34 baada ya kucheza mechi 16, sasa ikizizidi kwa pointi tatu Sevilla na Atletico Madrid zinazofuatia kwenye nafasi ya pili na ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Investigators deem there was no criminal liability in car crash that killed
Diogo Jota and his brother
-
Jota and Silva were killed in a car crash in northern Spain on July 3,
2025, when their Lamborghini veered off the A‑52 motorway near Cernadilla.
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment