Romelu Lukaku akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 33 akimaliza ukame wa mabao wa mechi 12, Mashetani Wekundu wakitoka nyuma kwa mabao 2-0 na kupata sare ya 2-2 ugenini dhidi ya Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana. Bao la pili la Man United lilifungwa na Ander Herrera dakika ya 39 pasi zote za mabao hayo zikitoka kwa Marcus Rashford. Mabao ya Southampton yalifungwa na Stuart Armstrong dakika ya 13 Cedric Soares dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Giannis, Damian Lillard Working for Return to Bucks from Injuries;
Status TBD
-
Milwaukee Bucks stars Giannis Antetokounmpo (calf) and Damian Lillard
(Achilles) reportedly might be on the floor for Thursday's Game 6 of their
first-round…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment