Wilfried Ndidi wa Leicester City akiuwahi mpira dhidi ya Kevin De Bruyne katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa King Power mjini Leicester. Leicester City ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Marc Albrighton dakika ya 19 na Ricardo Pereira dakika ya 81, wakati la Man City lilifungwa na Bernardo Silva dakika ya 14 na baada ya kipigo hicho cha pili mfululizo na cha tatu jumla cha msimu, sasa kikosi cha kocha Pep Guardiola kinazidiwa pointi sita na vinara, Liverpool (49-44) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Escondido home sets standard for new 'Zone Zero' fire rules
-
An Escondido homeowner is setting an example for “Zone Zero” fire
safety—clearing flammable items around the home to meet new wildfire
prevention rules, de...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment