Wilfried Ndidi wa Leicester City akiuwahi mpira dhidi ya Kevin De Bruyne katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa King Power mjini Leicester. Leicester City ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Marc Albrighton dakika ya 19 na Ricardo Pereira dakika ya 81, wakati la Man City lilifungwa na Bernardo Silva dakika ya 14 na baada ya kipigo hicho cha pili mfululizo na cha tatu jumla cha msimu, sasa kikosi cha kocha Pep Guardiola kinazidiwa pointi sita na vinara, Liverpool (49-44) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McCullum wants to stay as England coach – will he get the chance?
-
Brendon McCullum wants to stay as England coach but it is still up for
debate whether he will get that chance, writes Matthew Henry.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment