Wachezaji wa Real Madrid wakipongezana kwa ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Al Ain kwenye Fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia ya FIFA Jumamosi Uwanja wa Sheikh Zayed Sports City mjini Abu Dhabi na kutwaa taji hilo kwa mara ya tatu mfululizo. Mabao ya Real Madrid yamefungwa na Luka Modric dakika ya 14, Marcos Llorente dakika ya 60, Sergio Ramos dakika ya 78 na Yahia Nader aliyejifunga dakika ya 90 na ushei wakati la Al Ain limefungwa na Tsukasa Shiotani dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United: Marcus Rashford, Victor Lindelof and more - who is under pressure?
-
As detailed by Sportsmail , the Red Devils are set to lose up to 10 players
this summer with incoming boss Erik ten Hag ready to make a fresh start at
Old ...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni