Wachezaji wa Real Madrid wakipongezana kwa ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Al Ain kwenye Fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia ya FIFA Jumamosi Uwanja wa Sheikh Zayed Sports City mjini Abu Dhabi na kutwaa taji hilo kwa mara ya tatu mfululizo. Mabao ya Real Madrid yamefungwa na Luka Modric dakika ya 14, Marcos Llorente dakika ya 60, Sergio Ramos dakika ya 78 na Yahia Nader aliyejifunga dakika ya 90 na ushei wakati la Al Ain limefungwa na Tsukasa Shiotani dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
McCullum wants to stay as England coach – will he get the chance?
-
Brendon McCullum wants to stay as England coach but it is still up for
debate whether he will get that chance, writes Matthew Henry.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment