Edin Hazard akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 33 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion leo Uwanja wa Amex kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Hazard pia alitoa pasi ya bao la kwanza la The Blues lililofungwa na Pedro dakika ya 17, wakati la Brighton limefugwa na Solly March dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Crystal Palace 0-0 Leeds: Selhurst Park stalemate overshadowed by another
refereeing howler as official appears to FORGET star was already on a
yellow card
-
You know you're having a tough afternoon as a referee when you send off a
player on the away team and the home fans sing 'you don't know what you're
doing'.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment