Edin Hazard akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 33 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion leo Uwanja wa Amex kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Hazard pia alitoa pasi ya bao la kwanza la The Blues lililofungwa na Pedro dakika ya 17, wakati la Brighton limefugwa na Solly March dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Remains found of American mountain climber who died in an avalanche on
Pakistan's Broad Peak
-
Search teams on Friday found the remains of American climber Mallory Geis,
the last missing member of a 10-member international mountaineering team
that wa...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment