Edin Hazard akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 33 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion leo Uwanja wa Amex kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Hazard pia alitoa pasi ya bao la kwanza la The Blues lililofungwa na Pedro dakika ya 17, wakati la Brighton limefugwa na Solly March dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bring back Ange Postecoglou? Show Vinai Venkatesham the door? What can
Tottenham do to save their season? Our experts have their say...
-
Tottenham's season is spinning dangerously out of control and defeat by
Crystal Palace has plunged the club into full crisis mode. Our experts have
their s...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment