Kipa Arijanet Muric (kushoto) akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester City baada ya kuokoa penalti mbili katika ushindi wa penalti 3-1 kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya Leicester City usiku wa jana Uwanja wa King Power kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Kevin De Bruyne alianza kuifungia Manchester City dakika ya 14, kabla ya Marc Albrighton kuisawazishia Leicester dakika ya 73 kabla ya Muric kuokoa penalti za James Maddison na Caglar Soyuncu kuivusha Man City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United: Marcus Rashford, Victor Lindelof and more - who is under pressure?
-
As detailed by Sportsmail , the Red Devils are set to lose up to 10 players
this summer with incoming boss Erik ten Hag ready to make a fresh start at
Old ...
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni