Mshambuliaji Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 45 na ushei, likiwa bao lake la 100 tangu ajiunge na klabu hiyo, kabla ya kufunga na la pili dakika ya 58 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Watford ambao bao lilifungwa na Roberto Pereyra kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Vicarage Road PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Escondido home sets standard for new 'Zone Zero' fire rules
-
An Escondido homeowner is setting an example for “Zone Zero” fire
safety—clearing flammable items around the home to meet new wildfire
prevention rules, de...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment