Mshambuliaji Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 45 na ushei, likiwa bao lake la 100 tangu ajiunge na klabu hiyo, kabla ya kufunga na la pili dakika ya 58 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Watford ambao bao lilifungwa na Roberto Pereyra kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Vicarage Road PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigeria can’t build strong economy without security –Gbenga Daniel
-
Former Governor of Ogun State, Senator Gbenga Daniel, has said that Nigeria
cannot build a strong economy without security, nor can it sustain lasting
se...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment