Raheem Sterling akipongezwa na mchezaji mwenzake, Fernandinho (kushoto) baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 57 ambalo linakuwa la nane kwake msimu huu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 16 na Ilkay Gundogan dakika ya 79 wakati la Bournemouth limefungwa na Callum Wilson dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Benue PDP, Muftwang reject description of insecurity as farmer-herder
clashes
-
The Peoples Democratic Party (PDP) in Benue State has expressed concern
over Governor Hyacinth Alia’s description of the security challenges in the
state...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment