Raheem Sterling akipongezwa na mchezaji mwenzake, Fernandinho (kushoto) baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 57 ambalo linakuwa la nane kwake msimu huu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 16 na Ilkay Gundogan dakika ya 79 wakati la Bournemouth limefungwa na Callum Wilson dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The 'big brother' helping Arteta's Arsenal 'over the line'
-
As Arsenal pursue a first Premier League title in 22 years, BBC Sport looks
at how the relationship between Mikel Arteta and his assistant, Gabriel
Heinze,...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment