Raheem Sterling akipongezwa na mchezaji mwenzake, Fernandinho (kushoto) baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 57 ambalo linakuwa la nane kwake msimu huu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 16 na Ilkay Gundogan dakika ya 79 wakati la Bournemouth limefungwa na Callum Wilson dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Richard Keys claims Match Of The Day will be scrapped NEXT: Former Sky
Sports star makes huge prediction as he reveals why BBC have pulled the
plug on Football Focus
-
The BBC announced on Thursday that Football Focus would end after 52 years
at the conclusion of the current season - a decision made amid accusations
the p...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment