Raheem Sterling akipongezwa na mchezaji mwenzake, Fernandinho (kushoto) baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 57 ambalo linakuwa la nane kwake msimu huu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 16 na Ilkay Gundogan dakika ya 79 wakati la Bournemouth limefungwa na Callum Wilson dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ange Postecoglou LOSES IT at his players in dismal first half against
Chelsea... as Karen Carney says she's never seen the Tottenham boss so
frustrated on the touchline
-
Postecoglou made his feelings known to his players as he lost his temper on
the touchline, screaming 'stop passing it backwards', while pointing
at Pape Ma...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment