Mshambuliaji wa Chelsea, Edin Hazard akimtoka Nampalys Mendy wa Leicester City leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Leicester City imeshinda 1-0 pekee la Jamie Vardy dakika ya 51 na kwa ushindi huo inafikisha pointi 25 baada ya kucheza mechi 18 ikipanda kutoka nafasi ya 13 hadi ya tisa, wakati Chelsea inayobaki na pointi zake 37 za mechi inaendelea kushika nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bring back Ange Postecoglou? Show Vinai Venkatesham the door? What can
Tottenham do to save their season? Our experts have their say...
-
Tottenham's season is spinning dangerously out of control and defeat by
Crystal Palace has plunged the club into full crisis mode. Our experts have
their s...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment