Mshambuliaji wa Chelsea, Edin Hazard akimtoka Nampalys Mendy wa Leicester City leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Leicester City imeshinda 1-0 pekee la Jamie Vardy dakika ya 51 na kwa ushindi huo inafikisha pointi 25 baada ya kucheza mechi 18 ikipanda kutoka nafasi ya 13 hadi ya tisa, wakati Chelsea inayobaki na pointi zake 37 za mechi inaendelea kushika nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
J.K. Dobbins, Chargers Agree to Contract in 2024 NFL Free Agency After
Ravens Stint
-
The Los Angeles Chargers and running back JK Dobbins agreed to a one-year
deal Wednesday, per NFL Network's Tom Pelissero. He is joining a former
teammate in…
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment