Mshambuliaji wa Chelsea, Edin Hazard akimtoka Nampalys Mendy wa Leicester City leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Leicester City imeshinda 1-0 pekee la Jamie Vardy dakika ya 51 na kwa ushindi huo inafikisha pointi 25 baada ya kucheza mechi 18 ikipanda kutoka nafasi ya 13 hadi ya tisa, wakati Chelsea inayobaki na pointi zake 37 za mechi inaendelea kushika nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two fishermen rescued clinging to a cooler after five days adrift in the
Pacific
-
Two Mexican fishermen were rescued by the Navy on August 19, found clinging
to a cooler 150 miles from shore after their boat sank and left them adrift
in ...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment