Mshambuliaji wa Chelsea, Edin Hazard akimtoka Nampalys Mendy wa Leicester City leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Leicester City imeshinda 1-0 pekee la Jamie Vardy dakika ya 51 na kwa ushindi huo inafikisha pointi 25 baada ya kucheza mechi 18 ikipanda kutoka nafasi ya 13 hadi ya tisa, wakati Chelsea inayobaki na pointi zake 37 za mechi inaendelea kushika nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Gordon hits back at 'complete NONSENSE' from Alan Shearer and Wayne
Rooney and tells them 'do better' - after pundits criticised his attitude
over Barcelona benching
-
Anthony Gordon has hit out at Wayne Rooney and Alan Shearer after they
criticised his attitude during Newcastle's 1-1 draw against Barcelona on
Tuesday.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment